Storymoja Know More CRE Grade 3
KSh478.00 Original price was: KSh478.00.KSh430.00Current price is: KSh430.00.
Related products
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 3 (Approved)
KSh285.00Original price was: KSh285.00.KSh255.00Current price is: KSh255.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 3 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652515
-
Our Faith CRE activities learner’s book Grade 3 by Moran
KSh356.00Original price was: KSh356.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartOur Faith Christian Religious Education Activities is a complete course developed to meet the requirements of the Competence-Based Curriculum. The course offers learners appropriate knowledge, skills and attitudes necessary for learning Christian Religious Education Activities as a learning area. The course has been prepared after in-depth research to enable learners acquire the necessary knowledge. skills, values and attitudes. It has plenty of activities that stimulate [earning, nurture learners’ faith and talents, make the learning process enjoyable, and instill values and attitudes, based on the teachings of the Holy Bible. The course: Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to appreciate the environment
Has a variety of activities which enable learners to explore and learn
Covers all the outcomes in the syllabus
Has activities which integrate the core competences, values. and pertinent and contemporary issues
Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
Has activities that enable learners to appreciate and improve their community.
ISBN: 9789966630407
-
Everyday Hygiene and Nutrition Activities grade 3 by Oxford
KSh477.00Original price was: KSh477.00.KSh430.00Current price is: KSh430.00.Add to cartEveryday Hygiene and Nutrition Activities is a new series for the new competency based curriculum, specially written to provide practical experiences that equip learners with the basic knowledge, skills and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences, values and pertinent and contemporary issues (PCIs)
ISBN: 978 019 574666 2
-
Kielekezi cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 Kitabu cha Mwanafunzi by Mentor
KSh539.00Original price was: KSh539.00.KSh485.00Current price is: KSh485.00.Add to cartKIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaata mpya unaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueteweka na mwanafunzi kwa urahisi.
ISBN: 9789966059802
-
Let’s do Mathematics Activities grade 3 by Oxford
KSh405.00Original price was: KSh405.00.KSh365.00Current price is: KSh365.00.Add to cartLet’s Do Mathematics Activities is a new series specially written to provide practical experiences that support acquisition of numeracy skills for the new competency based curriculum. The books in the series provide a wide range of activities that the learners will find exciting and motivating. These activities are aimed at acquisition of the core competences, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs) as outlined in the curriculum.
ISBN: 978 019 574702 7








Reviews
There are no reviews yet.