Mwisho wa Kosa
KSh777.00 Original price was: KSh777.00.KSh700.00Current price is: KSh700.00.
Related products
-
Study Guide to the Samaritan (climax) by John Lara
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartAn Episodic Approach guide book to THE SAMARITAN play by JOHN LARA.
Written by teachers of long standing Experience in both teaching and Marking K.C.S.E, this guide book provides 3 booklets under one cover:
1.A COMPREHENSIVE EPISODIC APPROACH GUIDE TO AN ARTIST OF THE FLOATING WORLD BY KAZUO ISHIGURO.
2.KCSE ENGLISH EXAMS TIPS BOOKLET; THROUGH THE EYE OF AN EXAMINER,
3.ANSWERED KCSE MODEL QUESTIONS BOOKLET
ISBN:9781145956803
-
Mwongozo wa Bembea ya Maisha (Climax)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartMwongozo huu wa tamthilia ya Bembea unajumulisha vijitabu vitatu.
1.Mwongozo wenyewe wa Tamthilia ya Bembea.
2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu jinsi ya kujibu ya kiswahili ya KCSE.
3. Mifano ya Maswali na majibu mwafaka
ISBN: 9782199766806
-
Parliament of Owls – Set Book by Adipo Sidang’
KSh567.00Original price was: KSh567.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartDescription of Parliament of Owls Parliament of Owls by Adipo Sidang’ is a Kenyan award-winning poet and playwright. His Young Adult novella, A Boy Named Koko, won the 2017 Burt Award for African Young Adult Literature (Kenya). It was also shortlisted for the Burt Award for African Young Adult Literature (Africa) the same year, and …
-
Bembea ya Maisha – Set Book by Timothy M Arege
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartBembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.
ISBN: 9789966194534
-
Storymoja Giza la Muda by Storymoja
KSh644.44Original price was: KSh644.44.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartNana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638







Reviews
There are no reviews yet.