Mwisho wa Kosa
KSh777.00 Original price was: KSh777.00.KSh700.00Current price is: KSh700.00.
Related products
-
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Mwongozo wa Bembea ya Maisha (Climax)
KSh555.00Original price was: KSh555.00.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartMwongozo huu wa tamthilia ya Bembea unajumulisha vijitabu vitatu.
1.Mwongozo wenyewe wa Tamthilia ya Bembea.
2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu jinsi ya kujibu ya kiswahili ya KCSE.
3. Mifano ya Maswali na majibu mwafaka
ISBN: 9782199766806
-
Bembea ya Maisha – Set Book by Timothy M Arege
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartBembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.
ISBN: 9789966194534
-
Mwongozo ya Mapambazuko ya Machweo (Globalink) by Globalink
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00. -
Silent song and other stories (spotlight) by Edited by Godwin Siundu
KSh722.00Original price was: KSh722.00.KSh650.00Current price is: KSh650.00.Add to cartA Silent Song and other Stories is a unique collection of short stories from various societies across the world. They have been carefully selected to represent various generations of writers from diverse backgrounds.
The stories are meticulously sought and packaged to provoke interest in young Kenyan readers and help them encounter in-depth literary experiences. A wide range of techniques, settings and themes that are relevant to the contemporary issues affecting Kenyans have been addressed in the collection. These will expose the students to a rich diversity of perspectives that will result in appreciating the uniqueness of cultures across the globe.
ISBN: 9789966572813







Reviews
There are no reviews yet.