Mwisho wa Kosa
KSh777.00 Original price was: KSh777.00.KSh700.00Current price is: KSh700.00.
Related products
-
Study Guide a Silent Song and other stories (Climax)
KSh583.33Original price was: KSh583.33.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartAn Episodic Approach guide book to A silent Song and Other Stories by Spotlight Publishers Ltd and edited by Godwin Siundu.
ISBN: 9784443456853
-
MWONGOZO WA CHOZI LA HERI
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00. -
Father of Nations (Setbook) by Paul B.Vitta
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartThe very best of the world’s best have discovered a way to develop Africa: Way Omega. Now Africa’s heads of state are at a summit to approve it as their common development strategy. If they do, it promises Africa will start developing immediately. Unknown to the summit are several aggrieved conspirators who are plotting to defeat Way Omega and replace it with a rival strategy: Path Alpha. Their path, they say, is the only way to develop Africa. Should the summit still approve Way Omega, or should it turn around and approve Path Alpha instead? Fathers of Nations is a satire on contemporary African politics.
ISBN: 9780195749618
-
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.Add to cartMapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi wa kipekee kwani umewashirikisha waandishi wenye tajriba pevu katika fani ya uandishi na kuwapa nafasi waandishi wachanga katika tasnia ya uandishi wa kifasihi. Waandishi waliochangia katika mkusanyiko huu wameonyesha ubunifu mkubwa kwa kusawiri uhalisia wa maisha katika mazingira yao tofauti.
Suala la uhalisia wa maisha na mwingiliano wake na fasihi haliwezi kupuuzwa kwani fasihi ni kioo cha jamii.
Mkusanyiko huu una hadithi zenye maudhui mbalimbali na zinazosheheni migogoro itakayowafikirisha wasomoji. Hali kadhalika, huu ni mkusanyiko wa kwanza wa hadithi fupi kuwahi kuchapishwa ulio na idadi karibu sawa ya waandishi wa kike na wa kiume.
ISBN:9789914987195
-
Bembea ya Maisha – Set Book by Timothy M Arege
KSh516.00Original price was: KSh516.00.KSh465.00Current price is: KSh465.00.Add to cartBembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.
ISBN: 9789966194534







Reviews
There are no reviews yet.