MTP Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 3 (Approved)
KSh383.00 Original price was: KSh383.00.KSh345.00Current price is: KSh345.00.
Boada ya kukitumia hiki kitabu, mwanafunzi ataweza:
- Kutumia mbinu zifaazo za usikivu katika mawasiliano katika mazingira yoke.
- Kudhihirisha ufasaha wa kuzungumza kwa kiswahili.
- Kusoma kwa ufasaha na kufahamu aina zozote za maandishi ya Kiswahili.
- Kuelezea mawazo, hisia na tajiriba kwa maandishi ya mkono au mbinu nyingine yoyote ya uwasilishaji.
- Kutumia sarufi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kutumia msamiati ufaao katika mazingira yake kuwasiliana.
- Kuonyesha ukakamavu katika kuwasilisha masuala yanayomkabili na yonayokabili mazingira yake
Related products
-
Enjoy Mathematical Activities Learner’s Book Grade 3 by Paul Njoga, Lucy A. Ngode
KSh356.00Original price was: KSh356.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartEnjoy Mathematical Activities is a primary school course developed in line with the requirements of a competency based curriculum. The books employ an inquiry based approach to learning which equips learners with skills, knowledge, values and the quest to explore and discover by themselves. The course:
- emphasises on enquiry based approach and problem solving techniques
- has carefully graded Mathematical language that enhances understanding
- has a variety of hands-on activities which enable learners to explore their skills and immediate environment
- is learner centred with to – do tasks that make learning of Mathematical Activities enjoyable
- involves learners in aspects of observations, discussions and drawing conclusions from Mathematical Activities
- is written and developed by skilled educators with an apt experience in the competence based curriculum
The teacher’s guidebooks have been written in on easy to understand format. with guiding procedure on how to guide learners through the activities in each lesson. They address the competences. pertinent and contemporary issues, values and other requirements stipulated in the syllabus.
ISBN: 9789966630360
-
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630421
-
Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD3 (Approved)
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartHatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunz: kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lughakusoma na kuandika. Vitabu hivi vina sifa zifuatazo:
– Mada kuu zilizopangwa kwa kuzingatia ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3 ili kurahisisha utumiaji.
– Vipindi vilivyopangwa kushughulikia mada ndogo mbalimbali kulingana na ruwaza ya mtalaa.
– Picha na michoro iliyochorwa kwa rangi za kupendeza ili kuvutia usomaji na ujifunzaji.
– Maswali dodoso yanayochochea uwezo wa mwanafunzi kufikiria na kudadisi masuala mbalimbali.
– Kazi za ziada na majaribio yanayomhusisha mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi kwenye makundi katika shughuli ainaaina.
– Mradi wa nyumbani unaowahusisha wazazi na walezi katika ujifunzaji wa Kiswahili na pia kukuza uwajibikaji.
– Hadithina utajiri wa shughuli nyingine zinazokuza umilisi wa kimsingi wa lugha ya Kiswahili na zilizooanishwa na masuala mtambuko, maadili chanya miongoni mwa masuala mengine.
– Matumizi ya teknolojia kwa mfano kusikiliza sauti redioni na unasaji sauti kwa kutumia simu na vifaa vingine vya kiteknolojia.
ISBN: 9789966479327
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 3 (Approved)
KSh285.00Original price was: KSh285.00.KSh255.00Current price is: KSh255.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 3 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652515
-
Moran Skills in English Activities GD3 (Approved) by Moran
KSh356.00Original price was: KSh356.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartSkills in English is a complete English course developed in line with the Competence-Based Curriculum. The course offers the Warners appropriate skills. knowledge. values and attitudes necessary for teaming English as a learning area and as a language of communication. The text is presented Ina manner that stimulates learning. The course has been prepared after in-depth research. It employs an inquiry based approach to learning in ad =Wales which equips learners with the necessary competences, skills and the quest to learn and discover on their own.
The course:
• Encourages the use of learning more now from the Warners Immediate environment thus giving the learner an opportunity to learn from what they already know
• Has a variety of activities which enable learners to learn and explore
• Covers all the outcomes in the syllabus
• Has activities which integrate the core competencies, values and pertinent and contemporary issues
• Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
• Has activities that enable learners to appreciate and improve their community
ISBN: 9789966630728








Reviews
There are no reviews yet.