Moran Grow in Faith Bible Stories Activities Book Grade 3
KSh561.00 Original price was: KSh561.00.KSh505.00Current price is: KSh505.00.
Moran Grow in Faith Bible Stories Activities Book Grade 3
ISBN: 9789966631886
Related products
-
Moran Skills in English Activities GD3 (Approved) by Moran
KSh356.00Original price was: KSh356.00.KSh320.00Current price is: KSh320.00.Add to cartSkills in English is a complete English course developed in line with the Competence-Based Curriculum. The course offers the Warners appropriate skills. knowledge. values and attitudes necessary for teaming English as a learning area and as a language of communication. The text is presented Ina manner that stimulates learning. The course has been prepared after in-depth research. It employs an inquiry based approach to learning in ad =Wales which equips learners with the necessary competences, skills and the quest to learn and discover on their own.
The course:
• Encourages the use of learning more now from the Warners Immediate environment thus giving the learner an opportunity to learn from what they already know
• Has a variety of activities which enable learners to learn and explore
• Covers all the outcomes in the syllabus
• Has activities which integrate the core competencies, values and pertinent and contemporary issues
• Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
• Has activities that enable learners to appreciate and improve their community
ISBN: 9789966630728
-
Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD3 (Approved)
KSh633.00Original price was: KSh633.00.KSh570.00Current price is: KSh570.00.Add to cartHatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunz: kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lughakusoma na kuandika. Vitabu hivi vina sifa zifuatazo:
– Mada kuu zilizopangwa kwa kuzingatia ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3 ili kurahisisha utumiaji.
– Vipindi vilivyopangwa kushughulikia mada ndogo mbalimbali kulingana na ruwaza ya mtalaa.
– Picha na michoro iliyochorwa kwa rangi za kupendeza ili kuvutia usomaji na ujifunzaji.
– Maswali dodoso yanayochochea uwezo wa mwanafunzi kufikiria na kudadisi masuala mbalimbali.
– Kazi za ziada na majaribio yanayomhusisha mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi kwenye makundi katika shughuli ainaaina.
– Mradi wa nyumbani unaowahusisha wazazi na walezi katika ujifunzaji wa Kiswahili na pia kukuza uwajibikaji.
– Hadithina utajiri wa shughuli nyingine zinazokuza umilisi wa kimsingi wa lugha ya Kiswahili na zilizooanishwa na masuala mtambuko, maadili chanya miongoni mwa masuala mengine.
– Matumizi ya teknolojia kwa mfano kusikiliza sauti redioni na unasaji sauti kwa kutumia simu na vifaa vingine vya kiteknolojia.
ISBN: 9789966479327
-
Mentor English Activities GD3 (Appr) by Oulo, Otieno, Ayieko
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartMentor English Activities Grade 3 workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059741
-
Mentor Hygiene and Nutrition GD3 (Approved) by Nungo, Isoe, Odhiambo
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartMentor Hygiene and Nutrition Activities workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum.
The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the Lower primary learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059772
-
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630421








Reviews
There are no reviews yet.