Mentor Kielekezi cha Shughuli GD1
KSh511.00 Original price was: KSh511.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.
KIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 1 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaala mpyaunaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
(i) Kusikiliza na Kuzungumza
(ii) Kusoma
(iii) Kuandika
(iv) Msamiati
(v) Sarufi
ISBN: 9789966059666
Related products
-
OUP Soma Nasi Kusoma na Kuandika Gredi 1 (Approved)
KSh522.22Original price was: KSh522.22.KSh470.00Current price is: KSh470.00.Add to cartSoma Nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza,
kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza pamoja na kuwa vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na pia kufahamisha kuhusu masualaibuka.
ISBN: 9780195746945
-
KLB Visionary Environmental Act GD1
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartEnvironmental Activities Grade One has been comprehensively written to meet the requirements of the new competency-based curriculum. The content is guided strictly by the specific learning outcomes and suggested learning experiences. The inquiry-based approach, which emphasises on “how we come to know” rather than “what we know” has been used throughout the development of the content.
This learner’s book has used a variety of learning activities including project assignments, discussions, homework, parental involvement, experiments, field studies, observations and use of resource persons. All these learning activities are meant to put the learner to task in order to discover the knowledge on their own and apply what they have learnt in solving various problems around them. To evaluate the learner’s understanding and mastery of the content, a comprehensive assessment exercises has been provided at the end of every sub-strand. These assessment exercises are meant to assist in assessing learner’s progress in the course of learning.
ISBN: 9789966652478
-
Mentor English Literacy Grade 1
KSh505.00Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00. -
Moran Skills in English Activities Learner’s Book Grade 1
KSh488.88Original price was: KSh488.88.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartSkills in English is a complete English course developed in line with the Competence-Based Curriculum. The course offers the learners appropriate skills, knowledge, values and attitudes necessary for learning English as a learning area and as a language of communication. The text is presented in a manner that stimulates learning. The course has been prepared after in-depth research. It employs an inquiry-based approach to learning in all activities which equip learners with the necessary competencies. skills and the quest to learn and discover on their own.
The course:
Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to learn from what they already know
Has a variety of activities which enable learners to learn and explore
Covers all the outcomes in the syllabus
Has activities which integrate the core competencies. values and pertinent and contemporary issues
Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
Has activities that enable learners to appreciate and improve their community
Has activities which enhance literacy and communication skills.
ISBN: 9789966630544
-
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324








Reviews
There are no reviews yet.