Sale!

Katana na Mzee Kipara by Kamori

Original price was: KSh225.00.Current price is: KSh203.00.

Baba yake Katana na Rehema ni mkulima. Yeye ana shamba la mahindi. Mahindi yanaibiwa shambani hakuna mtu anajua mwizi ni nani. Katana na Rehema wakienda shuleni siku moja, mbwa wao anawafuata. Wakiwa njiani, wanawaona watu wawili shambani mwao.

Rehema na Katana wanajificha na kuwachungulia watu hao…..

ISBN: 9789966341877

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Katana na Mzee Kipara by Kamori”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
Make Your Order
Call Us

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop